HIZI HAPA SERA ZAO KAMA CHAMA:
Chama cha Demokrasia na Maendeleo nchini Chadema bado kimeendelea kijijenga kama chama mbali ya kashikashi zinazopitia kama chama ikiwemo hamahama za baadhi ya waliokuwa Madiwani na wabunge kupitia chama hicho kuamua kijivua nyazifa zao na kukihama chama na kukimbilia chama tawala kwa sababu zao mbalimbali na kubwa hasa ikiwa ni kule kuunga mkono juhudi za serikali iliyopo madarakani inayoongizwa na chama tawala CCM.
Mbali na hayo pia chadema ilipoteza majimbo na kata mbalmbal katika chaguzi za marudio huku chama tawala CCM ikijishindia bafasi hizo huku ikiwatumia viongozi haohao waliyoikimbia Chadema ili kuiwakilisha CCM katika chaguzi hizo.
Chadema kuonesha ni jasiri,wakomavu na wenye nia thabiti kuelekea chaguzi za Serikali za mitaa 2019 na ule uchaguzi mkuu 2020 wameendelea kujijenga na kuanza kuweka wazi sera zao.
Jionee hapa chini.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni