Jumatatu, 7 Januari 2019

KUPIGWA TUNAJITAKIA.

Ndiyo.
Nasemaga kila siku kwamba kile ulichoelekezwa kisifanyike basi usikifanye.
Iwapo utakifanya ni ishara kwamba umedharau maelekezo pamoja na yule au mamlaka husika.
Hebu jionee mwenyewe hapa.
Hivi huyu mtu akihukumiwa katika hilo kuna ubaya??.
Ama kweli Kupigwa tunajitakia.

Hakuna maoni: