Ndiyo.
Nasemaga kila siku kwamba kile ulichoelekezwa kisifanyike basi usikifanye.
Iwapo utakifanya ni ishara kwamba umedharau maelekezo pamoja na yule au mamlaka husika.
Hebu jionee mwenyewe hapa.
Hivi huyu mtu akihukumiwa katika hilo kuna ubaya??.
Ama kweli Kupigwa tunajitakia.
Jumatatu, 7 Januari 2019
KUPIGWA TUNAJITAKIA.

Alhamisi, 3 Januari 2019
NUKUU TOKA MAGAZETINI 2018.
Hii ndiyo tuliyoinukuu km ilivyoandikwa.
Ni moja ya nakala zilizochapishwa mwishoni mwishoni mwa mwaka 2018.
Ni moja ya nakala zilizochapishwa mwishoni mwishoni mwa mwaka 2018.

MCHANA NA KATUNI.

Jumanne, 1 Januari 2019
MCHANA NA KATUNI.
Kama kawaida siku kuu ya leo mbali na misosi au mapocho pocho ya hapa na pale huku ukishushia na moja ya moto na nyingine ya baridi
Basi sisi nasi tunakufurahisha ma katuni na kisha mchana wako unakwenda safi kabisa
Basi sisi nasi tunakufurahisha ma katuni na kisha mchana wako unakwenda safi kabisa

NEW YEAR WISHING.
Mnyausiblog team,
We're wishing all of you happy new year 2019.

Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)