Jumapili, 18 Desemba 2016

KUPIGWA TUNAJITAKIA.

Habari ndugu msomaji wetu,Tunatumai umzima wa afya.
Wakati mwingine ni wazi kabisa kwamba kupigwa tunajitakia sisi wenyewe.Na kupigwa siyo kupata majeraha tu bali hata kushitakiwa mahakamani kutokana na vitendo viovu tunavyovitenda tena wakati mwingine kwa makusudi kabisa huku tukijuwa kwamba tuyatendayo ni kinyume cha sheria na haki za binadamu.
Sasa hebu tizama mtu kama huyu kitendo anachokifanya kwa mke na mtoto wake.Je,mtu kama huyu kwanza amelewa halafu kwa hili analolifanya akiwajibiahwa utasema kaonewa????

Aaaah,tupigwe tu.Maana tunajitakia.

Hakuna maoni: